Matthew 15:32

Yesu Alisha Watu Elfu Nne

(Marko 8:1-10)

32 aKisha Yesu akawaita wanafunzi wake, akawaambia, “Ninauhurumia huu umati wa watu, kwa sababu sasa wamekuwa pamoja nami kwa muda wa siku tatu, na hawana chakula chochote. Nami sipendi kuwaaga wakiwa na njaa, wasije wakazimia njiani.”

Copyright information for SwhNEN